Test Footer

Latest Article Get our latest posts by subscribing this site

MANI MARTIN ACHAGULIWA KUIWAKILISHA RWANDA SHINDANO LA KUTAFUTA VIPAJI

Mani Martin
Mwanamuziki wa nchini Rwanda mwenye nyota na kipaji cha kipekee cha muziki, Mani Martin ataiwakilisha nchi yake Rwanda kwa kushiriki katika tamasha la kimataifa la muziki called Bayimba huko Uganda. 

Tamasha hili ambalo safari hii linafanyika kwa mara ya 6, linatarajiwa kuanza mwezi ujao huko Jinja, na ni nafasi nzuri kwa wasanii wakongwe pamoja na wale wanaochipukia kuonyesha vipaji vyao kwa wapenzi wa
sanaa hiyo.

Mani ambaye mbali na muziki pia ni mtunzi mzuri wa mashahiri pamoja na mwigizaji, ameendelea kujijengea jina kubwa katika majukwaa ya kimataifa hasa kutokana na muziki wake wenye vionjo vya kiafrika na ladha za kiasili ambao dunia imeupokea vizuri

JOSE CHAMILION AWAPIGIA DEBE RADIO & WISLE

Chameleone
Baada ya kufunika vilivyo kwa kutoa burudani ya nguvu katika tamasha kubwa ambalo limefika huko nchini Uganda hivi karibuni msanii Jose Chameleone amesema kuwa amewaomba mashabiki na wadau kuwapa sapoti wasanii wa Goodlyfe, Moses Radio na Weasel TV.

Chameleone ambaye ni ndugu na Weasel TV alitumia nafasi hiyo ya kuwaomba mashabiki katika tamasha hilo kutokana na kwamba wasanii hao wamekuwa ni wenye mafanikio makubwa na kwamba katika wiki mbili zijazo wanatarajia kufanya uzinduzi wa albamu yao waliyoibatiza jina ‘Obudde’.

Aidha Jose Chameleone alionyesha kuwa yeye ni gwiji na mwenye kipaji katika tamasha lake la ‘Badilisha’ haswa alipoweza kuimba zaidi ya nyimbo 40 ambapo pia aliziimba nyimbo za wasanii mbalimbali Afrika Mashariki kama wimbo wa Kigeugeu wa Jaguar, Mukama wa Judith Babirye, Bread and Butter kutoka kwao Moses Radio na Weasel TV, Kasepiki wa Bebe Cool na Wendi wa Bobi Wine

UHOLANZI YAPATA MFALME MPYA

Beatrix, Willem-Alexander
Wananchi wa uholanzi hii leo wanashuhudia kusimikwa rasmi kwa mwana mfalme wa Malikia Beatrix, Willem-Alexander kama mfalme mpya wa taifa hilo katika sherehe za kihistoria.
Willem-Alexander anakuwa mfalme wa kwanza kijana kuongoza taifa la Uholanzi katika sherehe ambazo zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa dunia.
Siku ya jumatatu malkia Beatrix alitangaza rasmi kukabidhi madaraka ya kifalme kwa mtoto wake wa kiume, Alexander katika tukio lililoshuhudiwa nchi nzima kupitia njia ya televisheni.
Gonga continue reading kuendelea.

JAGUAR AJITOA KUSAIDIA JAMII

JAGUAR
Jaguar kutoka Uhuru Land, Kenya ambaye kwa sasa chupa lake la Kipepeo ambalo ndio linasubiriwa kwa hamu kitaa, amegusa mioyo ya wengi baada ya kujitolea kumsomesha mwanafunzi David Owira ambaye ni msanii anayetokea katika mazingira magumu.

David alikuwa anahitaji kiasi cha shilingi za kikenya 200,000 zaidi ya shilingi milioni 3 na laki 8 za kibongo, ada ya kidato cha pili mpaka cha nne, pesa ambayo Jaguar amejitolea kusafisha yote.

Jaguar kwa sasa nyota yake imeonekana kung’ara kipesa kutokana na dili kibao ambazo amekuwa akizipiga hadi kufikia hatua ya kununua ndege yake binafsi ukiachia mbali magari ya kifahari ambayo anamiliki

UNESCO sacrifices wildlife preserve for uranium mine


Gnus, giraffes and zebras in the Selous Game Reserve in Tanzania 
Selous: Its unique diversity of species is threatened by a uranium mine. Picture: igougo.com
Selous is the largest Game Reserve in Africa and is inhabited by the most important populations of the critically endangered wild hunting dogs as well as East African elephants.

The UNESCO describes the Game Reserve as an immense sanctuary of 50,000 km2 which is “relatively undisturbed by human impact”  and which is inhabited by “large numbers of elephants, black rhinoceroses, giraffes, hippopotamuses and crocodiles”. The reserve has a “variety of vegetation zones, ranging from dense thickets to open wooded grasslands.”
Nevertheless, the UNESCO has now accepted a boundary change of the Reserve and thus enabled the mining of uranium in the conservation area for supplying nuclear power plants. The planned mine is situated in an elephant corridor between Tanzania and Mozambique.
The UNESCO describes this unbelievable act as a “minor boundary change”. However, this means approximately 200 km2 that will no longer be part of the protected area.

Deadly uranium mining

Soon this unique landscape and biodiversity of could be exposed to an immense quantity radioactive waste. The planned operating time of ten years could lead to the creation of 60 million tons of highly poisonous waste. No safe method exists to avoid contamination of surface and ground water during uranium mining. It remains unclear whether the wind will spread radioactive dust into the Reserve and contaminate wide areas.
Environmental groups accuse the UNESCO of failure and irresponsibility. Their decision appears to be influenced by corporate and lobby interests. Now there is a risk that this case has set a precedent that endangers the protection of other World Heritage sites for similiar interests.
We must not let a World Heritage site be sacrificed. Please support this letter of protest to the UNESCO.
BY Linus Lasway in UDOM BATCH

Template information

 
Support : Your Link | Your Link | Your Link
Copyright © 2013. GOSSIP TANZANIA - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger